Tuesday, February 14, 2017

DALILI ZA JUMLA KWA MALARIA SUGU

dalili za jumla za malaria sugu

·        
Kuvimba kwa bandama

·        
Kubadilika kwa rangi ya ngozi

·        
Misuli kuwa dhaifu

·        
Kuhisi vibaya

·        
Usagaji mbovu wa chakula mwilini

·        
Kupoteza hamu ya chakula

·        
Kuhisi kichefuchefu

·        
Kuhisi baridi

·        
Uchovu n.k

Dalili zote zilizoorodheshwa hapo juu pia humkuta mgonjwa akiwa kwenye hatua za malaria ya kawaida lakini huongezeka mara dufu pindi hali inapoelekea kuwa ya usugu.  Ni muhimu kufuata ushauri wa kitabibu toka kwa daktari baada ya kuhisi moja kati ya dalili zilizo katika mojawapo ya hatua zilizotajwa hapo juu ili kujinusuru.  Ikumbukwe kuwa ugonjwa huu unaweza kusababisha kifo kwa mhusika ikiwa atapuuza dalili yoyote.
Share:

No comments:

Post a Comment