
Utapiamlo ni hali ambayo hutokana na kupata chakula ambacho
virutubishi vyake havitoshi au viko vingi hadi kusababisha matatizo ya kiafya.
Neno hili hutumika mara kwa mara hasa kurejelea hasa ukosefu
wa lishe ambapo hakuna kalori, protini au lishe ya kutosha hata hivyo,
hujumuisha pia kupata...